Connect with us


Video

VIDEO: Macvoice Ft. Kusah – Sikuachi

Published

on

Macvoice Ft. Kusah – Sikuachi

VIDEO: Macvoice Ft. Kusah – Sikuachi MP4 DOWNLOAD

Macvoice join forces with Kusah on the official music video for “Sikuachi.”

Please listen , share and download 

LYRICS

Tuturu-tututuru

Tuturu-tututuru

Tuturu-tututuruuu

(Sound boy)

Napenda ivyo vidimple ohh

Na zuri lako tabasamu

Kwanza uko simple ohhh

Kuwa nawe siishi hamu

Yametimia maandiko baby

Penzi letu sio haramu

Navimba nimepata jikooo

Mwenzenu nalishwa vitamu

Unapendeza ukilala

Nzuri yako color

Sifa kwa mama alo kuzaa

Mungu anahumba eeh

Nawe umeumbika aaah

Mi’ nakuahidi nitazikwa na wewe

Unanifariji mama, nikiwa nauzuni

Tena niahidi (aanh) utazikwa na mimi (maaa ah)

Tena unifariji mama (aanh) kwenye shida na raha zote baby

Sikuachi

Acha iwaume roho

Sikuachi

Acha iwaume roho (acha iwaume roho)

Hmm mm

Kwanza naanzaje

Kukuacha wewe baby naanzaje!

Nambie, naanzaje!

Kuwa mbali nawe baby naanzaje

Wewe ni tabibu n’kiwa nawe napona

Sipepesi macho naona

Baby baby naona

Nakesha ka’ popo kisa kulilinda penzi langu

Na, ulipo nipo labda wachukue roho yangu

Najua watanuna (hmmm) na hili litawachoma (hmm)

Ila bado watatuona, honey honey honeyyyy weee

Mi’ nakuahidi nitazikwa na wewe

Unanifariji mama, nikiwa nauzuni we

Tena niahidi (aanh) utazikwa na mimi (maaa ah)

Njoo unifariji mama (aanh) kwenye shida na raha zote honey we

Sikuachi (no sidondoki kwako mmh)

Acha iwaume roho (baby mimi chizi wako nah nah)

Sikuachi (baby sikuachi mazima)

Acha iwaume roho (yiih mmmm)

ENGLISH LYRICS

Sipepesi macho naona

Baby baby I see

Baby baby naona

I stay awake like a bat to protect my love

Nakesha ka’ popo kisa kulilinda penzi langu

And, where I am, maybe take my soul

Na, ulipo nipo labda wachukue roho yangu

I know they’re gonna hate (hmmm) and this is gonna burn them (hmm)

Najua watanuna (hmmm) na hili litawachoma (hmm)

But they will still see us, honey honey honeyyyy weee

Ila bado watatuona, honey honey honeyyyy weee

I promise you I will be buried with you

Mi’ nakuahidi nitazikwa na wewe

You comfort me mother, when I am sad

Unanifariji mama, nikiwa nauzuni we

Again promise me (aanh) you will be buried with me (maaa ah)

Tena niahidi (aanh) utazikwa na mimi (maaa ah)

Come comfort me mother (aanh) in all the troubles and pleasures honey we

Njoo unifariji mama (aanh) kwenye shida na raha zote honey we

I’m not giving up (and I’m not falling for you mmh)

Sikuachi (no sidondoki kwako mmh)

Let the soul bite (baby I’m your cheese nah nah)

Acha iwaume roho (baby mimi chizi wako nah nah)

I didn’t stop (baby I never stopped)

Sikuachi (baby sikuachi mazima)

Let it bite the soul (yih mmmm)

Acha iwaume roho (yiih mmmm)

Advertisement
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending